WARSHA YA PAMOJA KATI YA ZIAAT NA OFISI YA MKAGUZI MKUU WA NDANI ZANZIBAR
POSTED ON: 25-03-2026
Mkufunzi kutoka Taasisi ya Wakaguzi wa ndani Tanzania (IIA) CPA Alphone Muro akiendelea kutoa mafunzo kwa baadhi ya wakaguzi wa ndani kutoka katika Wizara na Taasisi za SMZ
Warsha hiyo ya siku tano inaendelea katika Ukumbi wa Hoteli ya Misali Pemba