SEMINA YA PAMOJA KATI YA ZIAAT NA NBAA

POSTED ON: 29-01-2026

Taasisi ya Wahasibu, Wakaguzi na Washauri Elekezi wa Kodi Zaznibar (ZIAAT) na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Tanzania (NBAA) wameendelea kushirikiana katika semina za pamoja kama walivyokubalina katika Mkataba wa mashirikiano walitiliana saini Mei, 2025 Tarehe 28 - 30 Januari semina ya pamoja kati ya ZIAAT na NBAA imefanyika katika kituo cha Mikutano cha NBAA Bunju JIjini Dar es salaa